Mchuzi Wa Nyama Ya Kusaga Na Mayai
Vipimo
Nyama ya kusaga - 2 LB (Ratili)
Mayai - 6
Vitunguu - 4
Kitunguu saumu(thomu/galic) na Tangawizi - 1 Kijiko cha supu
Pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Nyanya iliyokatwa katwa - 4
Kotmiri - ½ Kikombe
Pilipili Manga - ¼Kijiko cha chai
Bizari ya curry - ½ Kijiko cha chai
Nyanya ya kopo - 3 Vijiko vya supu
Garam masala - 1 Kijiko cha supu
Mafuta ya kukaangia - Kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/108
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2580&title=Mchuzi%20Wa%20Nyama%20Ya%20Kusaga%20%20Na%20Mayai