Mishkaki Ya Nyama
Vipimo:
Nyama steki - 4 Ratili (2 Kilo)
Mafuta - 3 Vijiko vya supu
Masala Ya Kuroweka Katika Nyama:
Kitunguu saumu/thomu na tangawizi iliyosagwa - 2 kijiko cha supu
Pilipili mbichi iliyosagwa - 1 kijiko cha supu
Papai bichi kiasi lililochunwa - ½ papai
Siki nyeupe - 3 vijiko vya supu
Chumvi - kiasi
Jiyrah (cummin powder/bizari ya pilau) - 1 kijiko cha supu
Dania (coriander powder/gilgilani) - 1 kijiko cha chai
Pilipili nyekundu ya unga - 1 kijiko cha supu
Mdalasini wa unga - 1 kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika:
Kidokezo:
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/107
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2906&title=Mishkaki%20Ya%20Nyama%20