Vipi Aweze Kupunguza Unene?
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Napenda kuuliza swali langu kama ifuatavyo: Napenda kufahamishwa kuwa nifanye nini ili nipunguwe unene.
JIBU:
AlhamduliLLaah - Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aalaa) Rabb wa walimwengu, Swalaah na salamu zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho
Hakika hili ni suala la daktari kwani yapo mambo mengi ambayo yanaleta unene kama huo ambao hauna maana yoyote kwa mwanadamu. Unene unajaza mafuta mwilini hivyo kumfanya mtu asiwe na afya na maradhi kama ya moyo kumwangusha mara moja na kumuua.
Unene mara nyingi unaletwa kwa kula sana, kila wakati na pia kutumia mafuta mengi katika chakula. Hivyo kuweza kupunguza unene na kukata mafuta mtu anahitajika kufanya yafuatayo:
Na Allaah Anajua zaidi
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/63
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3450&title=Vipi%20Aweze%20Kupunguza%20Unene%3F