Makaroni Ya Kuku Na Mboga Mchanganyiko
Vipimo
Makaroni ya aina yoyote - 375 gms
Nyama ya kuku iliokatwa vipande - 1 Lb
Kitunguu - 1
Kitunguu saumu(thomu/galic) na tangawizi - 1 Kijiko cha supu
Mdalasini - ¼ Kijiko cha chai
Chumvi - kiasi
Pilipili manga ya unga - ¼ Kijiko cha chai
Ndimu - ½
Kidonge cha supu - 1 Kidonge
Mboga za barafu (frozen vegetable) - 2 Vikombe vya chai
Namna Ya kutayarisha na Kupika
Kidokezo:
Unaweza katakata vipande vidogo dogo freshi vya keroti, maharage machanga mabichi ya maganda na njegere kama huna (frozen Vegetable)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/84
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3992&title=Makaroni%20Ya%20Kuku%20Na%20Mboga%20Mchanganyiko