Manufaa Gani Ya Ulevi Yaliyotajwa Katika Qur-aan Na Madhara Ya Kamari
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Assalaamu alaikum warrahmatullahi wabarakatu, Katika suratul-bagarah ayah ya 219 inasema: Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa na manufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Swali langu ni hili: manufaa gani
JIBU:
AlhamduliLLaah - Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na Salaam zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho
Katika Aayah hii kuna msingi mkubwa wa kuharamishwa kwa vitu hapa duniani. Na hakika ni kuwa kujua kwetu hekima kuhalalishwa au kuharamishwa vitu si muhimu kwani tunajua kuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Anahalalisha vizuri na kuharamisha vibaya. Vilivyo haramu vina madhara kwetu na halali ni maslahi kwetu. Ndipo Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Akatuambia:
الَّذِينَ يَتَّبِعُونَ الرَّسُولَ النَّبِيَّ الْأُمِّيَّ الَّذِي يَجِدُونَهُ مَكْتُوبًا عِندَهُمْ فِي التَّوْرَاةِ وَالْإِنجِيلِ يَأْمُرُهُم بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَاهُمْ عَنِ الْمُنكَرِ وَيُحِلُّ لَهُمُ الطَّيِّبَاتِ وَيُحَرِّمُ عَلَيْهِمُ الْخَبَائِثَ وَيَضَعُ عَنْهُمْ إِصْرَهُمْ وَالْأَغْلَالَ الَّتِي كَانَتْ عَلَيْهِمْ ۚ فَالَّذِينَ آمَنُوا بِهِ وَعَزَّرُوهُ وَنَصَرُوهُ وَاتَّبَعُوا النُّورَ الَّذِي أُنزِلَ مَعَهُ ۙ أُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُفْلِحُونَ﴿١٥٧﴾
157. Wale wanomfuata Rasuli; Nabiy asiyejua kusoma wala kuandika ambaye wanamkuta ameandikwa kwao katika Tawraat na Injiyl, anawaamrisha mema na anawakataza munkari, na anawahalalishia vizuri na anawaharamishia maovu, na anawaondoshea mizigo yao (shariy’ah ngumu) na minyororo (vikwazo, taklifu) ilokuwa juu yao. Basi wale waliomwamini na wakamtukuza, na wakamnusuru na wakafuata nuru (Qur-aan) ambayo imeteremshwa pamoja naye; hao ndio wenye kufaulu. [Al-A’raa: 157]
Ama manufaa madogo ya kamari na vileo ni hapa hapa duniani. Manufaa ya kamari ni:
Ama manufaa ya vileo (pombe) ni kama yafuatayo:
Hata hivyo, manufaa haya yanazidiwa na madhara yake mengi yaliyo dhahiri na yanayoathiri Dini, jamii na akili. Tunataja machache hapa:
Madhara ya kamari ni kama:
Ama madhara ya pombe ni kama yafuatayo:
Na Allaah Anajua zaidi
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/33
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4397&title=Manufaa%20Gani%20Ya%20Ulevi%20Yaliyotajwa%20Katika%20Qur-aan%20%20Na%20Madhara%20Ya%20Kamari%20