Tambi Za Nazi Za Sukari Ya Brown
Vipimo
Tambi nyepe za mchele - 1 paketi
Tui la nazi zito - 2 gilasi
Sukari ya brown - ¾ gilasi
Maziwa ya unga - 3 vijiko vya kulia
Samli - 2 vijiko vya kulia
Hiliki - 1 kijiko cha chai
Zabibu - ¼ gilasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/185
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7314&title=Tambi%20Za%20Nazi%20Za%20Sukari%20Ya%20Brown