Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu - 02
Kauli "Kwa Haki Ya Muhammad"
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
"Haijuzu kusemwa 'Kwa Haki Ya Muhammad' wala kusemwa 'Kwa Jaha Ya Muhammad' wala kusemwa 'Kwa Haki Ya Manabii' wala kwa (maneno) mengine mfano wa hayo; kwani kauli kama hizo ni bid'ah."
[Al-Fataawaa, mj. 9, uk. 327]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7343&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Makosa%20Yaliyoenea%20Kwenye%20Ndimi%20Za%20Watu-02%3A%20Kauli%20%22Kwa%20Haki%20Ya%20Muhammad%22%20