Fuateni Wala Msizushe Mmetoshelezewa
‘Abdullaah bin Mas’uwd (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema:
“Fuateni wala msizushe, mmeshatoshelezewa (mmekamilishiwa Dini)."
[Sharh Uswuwl I’tiqaad Ahlis-Sunnah (1/86)]
(Yaani Dini ishakamilika na mafunzo yaliyopokelewa lutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) yametosheleza; hakuna haja ya mtu kuzusha au kuingiza lake jipya katika Dini).
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/201
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7614&title=%27Abdullaah%20bin%20Mas%27uwd%20-%20Fuateni%20Wala%20Msizushe