Dunia Ni Pandikizo La Aakhirah Pandikiza Khayr Upate Mavuno Ya Kukuridhisha
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
“Aliye na akili anaposoma Qur-aan na kutafakari, hutambua thamani ya dunia kwamba si chochote na kwamba ni pandikizo la Aakhirah. Kwa hiyo, tazama umepandikiza nini humo kwa ajili ya Aakhirah yako; ikiwa umepandikiza khayr basi bashiria kwa mavuno ambayo yatakuridhisha. Lakini ikiwa ni kinyume, basi umekhasirika duniani na Aakhirah.”
[Sharh Riyaadhw Asw-Swaaihiyn (3/358)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/229
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7717&title=Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Dunia%20Ni%20Pandikizo%20La%20Aakhirah%20Pandikiza%20Khayr%20Upate%20Mavuno%20Ya%20Kukuridhisha