Maandazi Laini Ya Kuoka (Baked)
Vipimo
Vikombe 3 vya unga
Kikombe 1 maziwa ya dafudafu (warm)
½ kikombe sukari
½ kikombe maziwa ya unga
Mayai 2
Kijiko 1 cha chai baking powder
½ kijiko cha hiliki ya unga
1/3 kikombe mafuta
Mchanganyiko wa hamira
2 vijiko vya kulia hamira
1 kijiko cha kulia unga
½ kikombe maji
1 kijiko cha chai sukari
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Weka mchanganyiko wa hamira katika bakuli dogo kisha koroga na acha uumuke kiasi dakika 5.
Kidokezo: Ukitaka hamira iumuke haraka: Washa microwave kiasi dakika 3 bila ya kitu ndani yake. Kisha weka mchanganyiko wa hamira ndani uache uumuke basi mara moja utaumuka.
Mchanganyiko Wa Maandazi
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8473&title=Maandazi%20Laini%20Ya%20Kuoka%20%28Baked%29%20%20%20