Pakoras Bajia Za Bilingani, Viazi Kwa Salsa Ya Uwatu
Vipimo
Bilingani 1 katakata vipande vidogodogo
Viazi 2 katakata vipande vidodogo vyembamba
Kitunguu 1 katakata slice za kiasi
Kotmiri msongo (bunch) moja ndogo katakata
Pilipili mbichi 1 katakata ndogo ndogo
Jira/bizari nzima/cumin 1 kijiko cha chai
Chumvi kijiko 1 cha chai
Haldi/bizari ya manjano (turmeric) ½ kijiko cha chai
Uwatu wa unga (methi/fenugreek) ½ kijiko cha chai
Unga wa dengu kikombe 1
Maji ½ kikombe
Mafuta ya kukaangia
Vipimo Vya Salsa
Pilipili kubwa tamu (capsicum)
Nyanya 2
Thomu (saumu/garlic) chembe 3
Pilipili mbichi 2
Uwatu (methi/fenugreek) 1 kijiko cha chai
Siki au ndimu vijiko vya kulia
Chumvi kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Salsa Ya Nyanya Pilipili Tamu Na Uwatu
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8519&title=Pakoras%20%28Bajia%29%20Za%20Bilingani%20Na%20Viazi%20Kwa%20Salsa%20Ya%20Uwatu