Vipi Kuigawa Nyama Ya Udhw-hiyah
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Vipi mchinjaji Udhw-hiyah aigawe nyama?
JIBU:
Sunnah kwa mchinjaji ni aile baadhi yake, na aigawe baadhi yake kama zawadi kwa jamaa wa karibu na majirani, na aitolee swadaqah baadhi yake.
[Majmuw’ Fataawa (18/38)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8740&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Hajj%3A%20Vipi%20%20Kuigawa%20Nyama%20Ya%20Udhwhiyah%20%20