Ameacha Kuswali Baada Ya Kudhani Ni Hedhi Je Alipe Swalaah?
Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Je, mwanamke akiona damu kidogo akaacha kuswali, kisha damu ikasita siku hiyo (au ya pili yake), Je anatakiwa alipe Swalaah?
JIBU:
Ikiwa imemdhihirikia kwamba hiyo si damu ya hedhi basi ni wajibu kwake kulipa Swalaah hizo alizozikosa.
[Sharh ‘Umdatil-Fiqh Kanda Namba 7 Swali Namba 44]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9458&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Ameacha%20Kuswali%20Baada%20Ya%20Kudhani%20Ni%20Hedhi%20Je%20Alipe%20Swalaah%3F