Mwenye Hedhi Kugusa Qur-aan Au Aayah Katika Simu Za Mkononi
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Nini hukmu ya mwanamke mwenye hedhi kugusa maneno ya Qur-aan ambayo yamo katika simu za mkononi?
JIBU:
(Hukmu ya Qur-aan iliyomo katika) Simu za mkononi, si (sawa) kama Qur-aan yenyewe (Msahafu) bali hiyo ni dijitali; kwa hiyo anaruhusiwa kuibeba au kuishika.
[Sharh ‘Umdatil-Fiqh, kanda Namba 7, swali namba 24]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9521&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Mwenye%20Hedhi%20Kugusa%20Qur-aan%20Au%20Aayah%20Katika%20Simu%20Za%20Mkononi