Haijuzu Kukosa Swalaah Ya Alfajiri Kwa Ajili Ya Kukesha Katika ‘Ibaadah
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema: Haijuzu kukesha hadi kupoteza Swalaah ya Jamaa Alfajirii au kuiswali kwa wakati wake hata kama ni kukesha kwa ajili ya kusoma Qur-aan.
[Al-Fataawaa (10/390)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9597&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Haijuzu%20Kukosa%20Swalaah%20Ya%20Alfajiri%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Kukesha%20Katika%20%E2%80%98Ibaadah