Kupoteza Wakati Ni Jambo Zito Zaidi Kulikoni Mauti
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah)
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah) amesema:
“Kupoteza wakati ni jambo zito zaidi kulikoni mauti, kwasababu kupoteza wakati kunakuepusha kuwa mbali na Allaah na Nyumba ya Aakhirah. Ama mauti yanakuweka mbali na dunia na watu wake.” [Al-Fawaaid (458)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/227
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9683&title=Imaam%20Ibn%20Al-Qayyim%3A%20%20Kupoteza%20Wakati%20Ni%20Jambo%20Zito%20Zaidi%20Kulikoni%20Mauti