Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب استحباب طيب الكلام وطلاقة الوَجه عند اللقاء
05-Mlango Wa Kupendeza Kuzungumza Vizuri na Kuwa na Bashasha Wakati wa Kukutana na Mtu
Alhidaaya.com [1]
قَالَ الله تَعَالَى:
وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِلْمُؤْمِنِينَ﴿٨٨﴾
Na inamisha bawa lako kwa Waumini (kuwahurumia). [Al-Hijr: 88]
وَلَوْ كُنتَ فَظًّا غَلِيظَ الْقَلْبِ لَانفَضُّوا مِنْ حَوْلِكَ ۖ ﴿١٥٩﴾
Na lau ungelikuwa mjeuri mwenye moyo mgumu wangelitawanyika mbali nawe. [Aal-'Imraan: 159]
Hadiyth – 1
وعن عدي بن حاتمٍ رضي الله عنه ، قَالَ : قَالَ رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( اتَّقُوا النَّارَ وَلَوْ بِشِقِّ تَمْرَةٍ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَبِكَلِمَةٍ طَيِّبَةٍ )) متفقٌ عَلَيْهِ .
Imepokewa kutoka kwa 'Adiyy bin Haatim (Radhwiya Allaahu 'anhu) Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Jiepusheni au jikingeni na moto japokuwa kwa kutoa kipande cha tende moja." [Al-Bukhaariy na Muslim]
Hadiyth – 2
وعن أَبي هريرة رضي الله عنه : أنَّ النبيَّ صلى الله عليه وسلم ، قَالَ : (( وَالكَلِمَةُ الطَّيِّبَةُ صَدَقَةٌ )) متفقٌ عَلَيْهِ
Imepokewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Na maneno mazuri ni swadaqah." [Al-Bukhaariy na Muslim].
Hadiyth – 3
وعن أَبي ذَرٍّ رضي الله عنه ، قَالَ : قَالَ لي رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( لاَ تَحْقِرَنَّ مِنَ الْمَعْرُوفِ شَيْئاً ، وَلَوْ أنْ تَلْقَى أخَاكَ بوَجْهٍ طَلْقٍ )) رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa Abu Dharr (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Msichukie jema lolote hata ikiwa ni kukutana na ndugu yako kwa uso wa tabasamu na bashasha." [Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10832&title=05-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kupendeza%20Kuzungumza%20Vizuri%20na%20Kuwa%20na%20Bashasha%20Wakati%20wa%20Kukutana%20na%20Mtu