Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب استحباب كون ساقي القوم آخرهم شرباً
16-Mlango Wa Kupendeza Kuwa Mwandazi Awe wa Mwisho Kunywa
Alhidaaya.com [1]
عن أَبي قتادة رضي الله عنه ، عن النبيِّ صلى الله عليه وسلم ، قَالَ : (( ساقي القوم آخِرُهُمْ شُرْباً )) رواه الترمذي ، وقال : (( حديث حسن صحيح )) .
Imepokewa kutoka kwa Qataadah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Mnyweshaji wa watu ndiye wa mwisho wao kunywa." [At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan Swahiyh]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10991&title=16-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kupendeza%20Kuwa%20Mwandazi%20Awe%20wa%20Mwisho%20Kunywa