Kumlipia maiti saumu:
Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) amesema, “ Atakayekufa ilhali kaacha deni la funga basi na alipiwe na walii wake.” (Bukhari na Muslim)
Katika sahihi mbili tunasoma: kuwa mwanamke fulani alisafiri baharini akapanda chombo akanadhiria kwa Mwenyezi Mungu kuwa akimuokoa atafunga mwezi mzima, Mwenyezi Mungu akamuokoa lakini hakufunga hadi alipofariki. Wakaja jamaa zake wa karibu
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1527&title=48-Dalili%20Za%20Kheri%20Katika%20Mambo%20Yamfaayo%20Maiti%3A%20Kumlipia%20maiti%20saumu