Zakaatul-Fitwr Igaiwe Kwa Mtu Mmoja Au Watu Mbali Mbali?
Al-Lajnah Ad-Daaimah
SWALI:
Je, Zakaatul-Fitwr ni kwa ajili ya mtu mmoja pekee au igaiwe kwa wengi?
JIBU:
AlhamduliLLaah
Inaruhusiwa kutoa Zakaatul-Fitwr kwa mtu mmoja kwa ajili ya mtu mmoja na inaruhusiwa pia kuigawa kwa watu zaidi ya mmoja.
Na Allaah ni Mweza wa yote.
[Fataawaa Al-Lajnah (1204)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1928&title=08-Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Zakaatul-Fitwr%20Igaiwe%20Kwa%20Mtu%20Mmoja%20Au%20Watu%20Mbali%20Mbali%3F