Markaz Za Kiislamu Kununua Chakula Cha Zakaatul-Fitwr Mapema Ili Kuwuazia Waislamu
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Markazi za Kiislamu nchi za Magharibi inataka kununua vyakula kama mchele, mapema sana kabla ya 'Iyd tuseme siku kumi kabla. Kisha watatangaza kuwa wako tayari kupokea pesa za Zakaatul-Fitwr kutoka kwa Waislamu ili wazigawe kwa ajili yao. Hii ni kwa sababu haiwezekani kununua kiasi ya chakula wakipokea pesa siku mbli kabla ya 'Iyd. Nini Hukmu Yake?
JIBU:
Hakuna ubaya kwa Markazi kununua chakula mapema kisha kuwauzia wanaotaka kununua Zakaatul-Fitwr kisha kuigawa kabla ya wakati wake.
[Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [Fataawaa (71475)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1946&title=25-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Markaz%20Kununua%20Chakula%20Cha%20Zakaatul-Fitwr%20Mapema%20Ili%20Kuwuazia%20Waislamu