Hadiyth Al-Qudsiy
Hadiyth Ya 3
Allaah Atanyakua Ardhi Na Atakunja Mbingu Katika Mkono Wake Wa Kulia
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ عَنْ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((يَقْبِضُ اللَّهُ الْأَرْضَ وَيَطْوِي السَّمَاءَ بِيَمِينِهِ ثُمَّ يَقُولُ أَنَا الْمَلِكُ أَيْنَ مُلُوكُ الْأَرْضِ)) البخاري و مسلم
Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Allaah Atainyakua dunia yote na Atazikunja mbingu kwa kwa Mkono Wake wa kulia kisha Atasema: Mimi Ndiye Mfalme! Wako wapi wafalme wa ardhi?)) [Al-Bukhaariy na Muslim]
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2651&title=03-Hadiyth%20Al-Qudsiy%3A%20Allaah%20Atanyakua%20Ardhi%20Na%20Atakunja%20Mbingu%20Katika%20Mkono%20Wake%20Wa%20Kulia%20