Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Kuomba Kinga Dhidi Ya Jirani Muovu
Alhidaaya.com [1]
063- Ee Allaah, hakika mimi najikinga Kwako jirani muovu katika…
اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ جَارِ السَّوْءِ فِي دَارِ الْمُقَامِ فَإِنَّ جَارَ الْبَادِيَةِ يَتَحَوَّلُ
Allaahumma inniy a’uwdhu bika min jaaris-saw-i fiy daaril-muqaami fainna jaaral-baadiyati yatahawwalu.
Ee Allaah, hakika mimi najikinga Kwako na jirani muovu katika makazi ya kudumu kwani jirani wa jangwani hubadilika badilika kuhama.
[An-Nasaaiy kwa usimulizi ((Jikingeni na jirani muovu…)), As-Silsilatu Asw-Swahiyhah (3943), Swahiyh Al-Jaami’ (2967)]
Ufafanuzi: Makazi ya kudumu: Makazi ya kuthibitika hayabadiliki; watu hubakia hawaondoki kuhama kuhama.
Links
[1] http://alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8336&title=063-Du%27aa%20Za%20Nabiy%20%28%D8%B5%D9%84%D9%89%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%20%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%20%D9%88%D8%A2%D9%84%D9%87%20%D9%88%D8%B3%D9%84%D9%85%29%3A%20Kuomba%20Kinga%20Dhidi%20Ya%20Jirani%20Muovu