Akijitoa Manii Swawm Inabatilika Na Je, Anawajibika Kafara?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Je, kutoa manii kunabatilisha Swawm? Na je, anapaswa kulipa kafara?
JIBU:
Mtu akitoa manii Swawm yake inabatilika, inabatilika na mtu analazimika kulipa siku hiyo na kufanya tawbah [kwa kuwa ni haramu].
Kulipa kafara ni pindi mtu anapofanya jimai wakati wa Swawm.
[Imaam Muhammad Swaalih Ibn 'Uthaymiyn - Fataawa Arkaanil-Islaam, uk. 478]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8450&title=06-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Akijitoa%20Manii%20Swawm%20Inabatilika%20Na%20Je%2C%20Anawajibika%20Kafara%3F