Mwanamke Atekeleze Wapi I’tikaaf Akipenda Kufanya Hivyo?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
12-Mwanamke Atekeleze Wapi I’tikaaf Akipenda Kufanya Hivyo?
Mwanamke akitaka kutekeleza I’tikaaf, basi iwe katika Msikiti ambao hauna tahadharisho la ki-shariy’ah lakini ikiwa kuna tahadharisho la ki-shariy’ah basi asifanye I’tikaaf humo.
[Majmuw’ Al-Faataawaa (20/163)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8584&title=12-Imaam%20Ibn%20Baaz%20%3A%20Mwanamke%20Atekeleze%20Wapi%20I%E2%80%99tikaaf%20Akipenda%20Kufanya%20Hivyo%3F