Je, Mtu Akifunga Siku Tatu Au Tano Kwa Ajili Ya Sitta Shawwaal Atapata Thawabu?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
"Naam, atapata thawabu lakini hatopata thawabu ambazo ameziainisha Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika kauli yake:
“Atakayefunga Ramadhwaan kisha akafuatiliza na Sitta Shawwaal itakuwa kama ni Swiyaam ya mwaka” [Muslim]."
[Fataawaa Nuwr ‘Alad-Darb, Kanda (75)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8636&title=19-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Je%2C%20Mtu%20Akifunga%20Siku%20Tatu%20Au%20Tano%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Sitta%20Shawwaal%20Atapata%20Thawabu%3F