Wakati Gani Inasomwa Du’aa Ya Kufungulia Katika Swalaah Ya ‘Iyd?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
"Du’aa ya kufungulia Swalaah inasomwa baada ya Takbiyrah Al-Ihraam na ni jambo lenye wasaa katika hili hata ikiwa atachelewesha kusoma du’aa ya kufungulia pale mwishoni mwa Takbiyrah hakuna ubaya."
[Majmuw’ Al-Fataawaa (16/240)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8645&title=05-Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Wakati%20Gani%20Inasomwa%20Du%E2%80%99aa%20Ya%20Kufungulia%20Katika%20Swalaah%20Ya%20%E2%80%98Iyd%3F