Zawadi Kwa Wanandoa
23-Kuoga Katika Chombo Kimoja
الإغتسال من إناء واح
Inajuzu kwa wanandoa wawili kuoga pamoja katika sehemu moja, imepokewa kutoka kwa 'Aaishah (Radhiya Allaahu 'anha) amesema:
“Nilikuwa nikioga mimi na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) katika chombo kimoja, inapishana mikono yetu ndani yake, na ananianza kwa hilo hadi nasema: niachie … niachie. Akaendelea kusema Bibi 'Aaishah wakiwa hivyo hali ya kuwa ni wenye janaba.” (Muslim)
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9462&title=23-Zawadi%20Kwa%20Wanandoa%3A%20Kuoga%20Katika%20Chombo%20Kimoja