Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 1012
on 17/05/2013 at 04:34
ninafuraha sana kwa kitengo hiki cha uislamu,kwa faida ambayo twaipata kwa kila atafutae ukweli,shukran ALLAH tawapa nguvu yakuendelea na malipo yenu kwake ALLAH mtukufu
on 14/05/2013 at 12:39
Asalam alykum nashkuru sana mwanzilishi wa hii blogu kwani inatupa mawazo mapya na kutufanya tuwe na imani zaidi
on 11/05/2013 at 02:26
A.A kwanza nawapa hongera ,mmetufundisha na kutuelimisha wengi katika mabo tusiyoyajua,na mmeweza kutufanya tuweze kutunza nyumba zetu nakutuondoshea ugomvi kwa waume zetu .Tumekuwa wanawake kubadilisha vyakula kila siku.ASANTENI SANA MUNGU ATUBARIKI
on 11/05/2013 at 01:57
jitahidini sana kutuelimisha sunna na manhaji salaf kama njia ya waja wema waliopita.
on 07/05/2013 at 17:20
Asalam alykum tunawashukuru waanzilishi wajambo hili zuri katika dini mungu awalipe kheri inshallah ninachoomba mie ninawaidha mbalimbali ya sheikh Ali bahero na sheikh Yusuf abdi mtuingizie mungu akiwapa wasaa
on 07/05/2013 at 15:39
Alhamdullillah.....!! Tunapaswa kumshukuru Allah kwa kuwa na website kama hii katika nchi yetu hii ambayo kuna kila aina ya dhulma juu ya waislam... Kupitia website hii umma unaweza kuwa macho na kujua lipi haswa la kushikilia na lipi silo..
Chakufanya ni kuitangaza na kuifanya ijulikane na kila mtu ili iwe na manufaa kwa wengi.
jukumu hili la kuitangaza website yetu ni lakila muislam anayeifahamu lakini hasa waendeshaji wa website hii wanatakiwa waitangaze kupitia magazeti na vyombo vyengine vya kiislam tulivyonavyo.....!!
inshallah Allah ataleta wepesi katika hili.
on 06/05/2013 at 01:30
Assalam alaykum warahmatullah wabarakat ,baada ya salam napenda kuipongeza website hii ya alhidaya.com na wanzilishi wa website hii (ALLAH awalipe kila la KHEIR hpa dunian na kesho YAUMUL HAQQI ) .Wallah nimefarijika sana nliyoyapata humu na ckujua wapi ningeyapata . Nimefunguka ki akili na nimepta elimu kubwa ya mas-ala ya dini .nimeona mada nyingi sana ambazo ckujua ntazipata wapi au ktk kitabu gani ,wallah natumia zaid ya masaa 6 ktk website hii ..vile vile namshukuru sana rafk yangu alienionesha website hii na kufaidika na mambo mengi ,bado naendlea kuchkua mambo ktk alhidaya.com . napenda kuwashaur kuwa muendelee hvo hvo kutuelimisha juu ya dini yetu .Allah atakulipeni kwa kazi kubwa mnayofanya .AAAMIN
on 30/04/2013 at 17:56
A/alaykum,,,,,wallahi najiskia faraja na furaha kubwa sana Leo kuwa hapa kiasi ambacho najuta kwann nimechelewa kuwako hapa ila namshkuru Allah Leo nko hapa naimani nitapata faida kubwa sana kupitia hapa alhidaaya,,, Allah azidi kuwapa wepesi wale wote wanaohusika kutupatia vitu vizuri kuhusu dini yetu ya Islam ......Allah amibariki
on 24/04/2013 at 15:56
Assalam alaykum, napenda kutoa shukrani kwa wote waliofanikisha Website hii kwani ni mafunzo tosha, hakika ninaelimika kwani vitu vingi nilikuwa sivifahamu. Inshallah Jazakallahu Akhra.
on 24/04/2013 at 12:33
Assalaam alykum, namshukuru ALLAH (s.w) kwa kuniwezesha kusoma katika website hii, nimenufaika nayo sana, Allah akulipeni kheri nyingi wahusika wa Alhidaaya.
Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 1012