Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 554
on 21/03/2010 at 08:18
ASAAL ALYEKUM WARAHMATULLAH WABARAKATU,KWANZA NAMSHUKURU MWENYENZI MUNGU KWA KUTAPA AFYA NA UZIMA,NAWASHUKURU SAANA KWA KUTUELIMISHA JAMII KUHUSU DINI YETU TUMEJUA MAMBO MENGI AMBAYO MWANZO HATUKUYAFAHAMU;HASA MAMBO YA RUSHA ROHO TUMEELIMIKA SANMWENYENZI MUNGU ATAWAPA KILA LA KHERI
on 19/03/2010 at 12:48
BISMILLAHIR-RAHMAANIR-RAHIIM
AS-SALAAM ALAYKUM WA RAHMATULLAHI TA’ALA WA BARAKATUHU.
KWANZA KABISA NAMSHUKURU ALLAH SUBHANAU WA TA’ALA KWA KUNIONYESHA WEBSITE YENU.
PILI:NDUGU ZANGU KATIKA UISLAMU AHSANTENI SANA KWA KUTULETEA MTANDAO UNAOTUELIMISHA NA KUTUREKEBISHA MATENDO YETU YA KILA SIKU.JAZAKUMULLAAHU AHSANU JAZAA FID-DUNYA WAL AAKHERA.
NIMESOMA WEBSITE YENU NASEMA KUHUSU HIYO NI VERY EDUCATIVE AND INFORMATIVE.MASHA ALLAH.
NATARAJI WENGI WETU WENYE KUSOMA HIYO WEBSITE YENU WATANUFAIKA SANA KI-IMANI NA KI-MAADILI .NA HIYO IWE SABABU YENU KUPATA MAFANIKIO YA AKHERAH.INSHA ALLAH.
AMRI YA KWANZA ALLAH SUBHANAU WA TA'ALA ALIYOMPA MJUMBE WAKE NA KUPITIA YEYE WAUMINI WOTE NI:-
SOMA KWA JILA LA MOLA WAKO ALIYEUMBA.
NAYE MTUME MUHAMMAD SAW AMESEMA
KUTAFUTA ILMU NI FARADHI JUU YA KILA MWISLAM
M/MME NA M/MKE.INSHA ALLAHU TA'ALA KUPITIA WEBSITE YENU TUTATEKELEZA HII FARDHI YA KUTAFUTA ILMU.
WAHENGA WAMESEMA:
ELIMU BILA AMALI NI KAMA NTA BILA ASALI.
ELIMU NI TAA GIZANI HUZAGAA.
NAMI NASEMA ELIMU BILA HEKIMA,HEKIMA BILA MATENDO SAWA NA MWILI BILA ROHO.
ADUI MKUBWA WA MWANADAMU KWA MTAZAMO WANGU SI UMASKINI WALA MARADHI BALI NI UJINGA.
NATARAJI KUPITIA WEBSITE YENU TUTAJI KOMBOA NA ADUI HUYU.INSHA-ALLAH WAMA TAWFIQ ILLAH BILLAH
MWISHO NAMWOMBA ALLAH SUBHANAU WA TA’ALA ABARIKI NA KUPA NGUVU NYINYI YA KUENDELEA KUTU ELIMISHA ZAIDI NA ZAIDI.
NA AWANUFAISHE KILA MWENYE KUPITIA WEBSITE YENU NA LULU ZILIZOMO NDANI YAKE.HUSUSAN WASIO WAISLAMU.
on 18/03/2010 at 20:08
Asslaamu aleikum warahmatu-LLahi wabarakaatuh.
mwenyezi mungu wajaaliye wote ktk web hii kutoa
Elimu mlonayo kuwasambazia jamii ya kislamu kwani ni jambo kubwa mbele ya Allah.
mimi mwenyewe nimepata faida ya kujielimisha mambo mbalimbali ya kidini yangu ya kislamu.
shukran ndugu zangu jazakallahu kheiran.
on 14/03/2010 at 10:54
A.alkm ndugu waislam ningependa kutoa shukrani zangu kwa wote wanao endesha tofute hii,allah awape maisha marefu na afya,na kwa wale wanao itumia tuzidi kuwaalika wenzetu nao wapate faida kwani kila mtu nimchungaji na tutakwenda ulizwa tulicho kichunga,kwa hivo inshallah tutie bidii kuuwaalika.ameen allah ibarik
on 12/03/2010 at 15:14
nashukuru sana kwa kutuwekea somo la arabic Allah awalipe kila la kheri na bro asif meherali na wote waliohusika kwa kuwezesha somo hili kutufikia sisi non arabic speakers na kwa kutengeneza dvd za arabic may Allah reward all staff at alhidaaya and bro asif meherali and his helpers and all muslim ummah in this world and hereafter. ameen
on 09/03/2010 at 07:47
Mashala, mungu atupe nuru kama za alhidaaya tuweze kuwa umma bora na watenda kazi kwa elimu yenye manufaa.
on 01/03/2010 at 20:27
asalaam aleikum warahmatullahi wa barakatuh.
nawapa hongera sana kwa kila alie husika na hii web,na inshallah mungu atawalipa kheri hapa duniani na kesho akhira amin inshallah,
on 01/03/2010 at 14:37
Assalamu Alaykum Warahmatullahi wabarakatuh. Hii ndiyo faida ya teknologoa ya kisasa. Ndugu waisilamu wenzangu, tujaribuni tutafute faida kama hizi ili zitufae sisi na wengineo kadhalika.Masallah nimewahi kujipatia faida nyingi isiyo mithili kwani mawaidha mbali mbali yanapatikana kwenye website hii. Naomba mambo kama haya yawe ni sibabu ya kuunganisha umma wetu. Very well done initiators of this website.
Jazakallah
Yahya
on 26/02/2010 at 19:54
asalam alaikum kwanza natanguliza shukrani kwa allah kwa kunipa fursa ya kujiunga na al hidaaya pili nawapongeza wote waliyo shiriki kutuilimisha mungu awazidishiya mutufunze zaidi.nawashukuru jinsi mulivyo tu fafanuliya kuhusu maulid twashuhudiya kwa allah kwamba tumelewa na nikitendo ambacho hakikufanywa na mtume s.a.w shukran waafiiamaanillahi
on 23/02/2010 at 13:46
Bismillah Rahamaan Raheem namshukuru Mola kunipa web hii na inshallah malipo yapo kwa Mola mlezi, Innallilah wainaillah rajiuun nimefiwa na mwangu jina Salim miaka saba juzi ijumaa 19.02.10 alfajir mikononi mwangu, nilipewa zawadi yangu lakini imekuwa amanah allah amana rasul kisha kipende ukipendacho sikumoja utatenganacho lazima ima utaanza wewe au yeye awe ni mumeo,mtoto au mamako hii imekuwa dawa yangu kuikumbuka habari hii kati ya misemo ya quran na hadithi nilimpenda kijana wangu huyu lakini amerudi kwa mwenye muumba nakubali na nasubirisha fadhila na mapenzi aliyonipa Mola wangu kwa mtihani huu mgumu nawashukuru waisilamu wote hapa stuttgart- Sindelfingen kutayarisha na kuwa bega kwa bega nasi Alhamdhullilah Mola amuweke pahali pema peponi inshallah hii ni e mail yg(bintisiwa@yahoo.com)
Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 554