Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 623
on 03/09/2010 at 06:07
asalamu aleikum hatuna budi kumshkuru allah kwa kutufikisha hapa tulipo katika huu mwezi wa ramadhani na kumi la mwisho allah atubariki na atukubalie funga zetu na duwa zetu pia pamoja na visimamo vyetu vya usiku zikiwemo na duwa zetu inshaallah kwa sote waumini tuloamini na tunozifata ibada za allah
ijumma karim
on 01/09/2010 at 08:58
ASSALAM ALAKUIM WARAHMA TULLWAHI WABARAKATU
MOLA ATUPE KILA LA KHEIR HAPA DUNIANI NA HUKO AKHERA TWENDAKO.
TUNAKUSHUKURUNI SANA KWA KUTUPATIA MAWAIDHA BORA KWA HASA HUU MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
CHAKUKUPENI SISI HATUNA LAKINI MOLA NDIYE MJUZI JUU YA MALIPO YENU BORA ALIYOKUANDALIENI.
TUKO TTAYARI KUUNGANA NASISI NA HASA PALE PANITAKIWA MSAADA WA KUIENDEZA DINI YETU
WABILLAHI TAUFIQ
on 31/08/2010 at 10:18
Asalaam Alaikum warahmatulaahi wabarakatuh, napenda kuihusia nafsi yangu pamoja na kuzihusieni nafsi zenu waislam wenzangu kwenye Web hii, tuzidishe salah, tawbah na kuisoma Quran ili tupate ubora wa juu kwa Allah (S.W) katika siku hizi zilizo baki, 'Inshaalah'. RAMADHAN KARIM.
on 31/08/2010 at 09:11
asalam aleykum mashaallah 2takuwa wakosefu wa fadhila kam ha2ta shukuru neema hii 2lopata ya kufunga ramadhani.inshl waislam 2mien neema hii kwan 2taulizwa juu ya neema hii.2muombe allah sana a2swamehe makose yetu kwani cc wanaadam c wakamilifu.allahuma amiiiin
on 29/08/2010 at 23:24
Naushukuru sana mtandao wa alhidaaya kwa kutupatia mafunzo mali mbali ya dini ya kiislamu pamoja mafudisho mengine mbali mbali kama malezi ya kiislamu ,mapishi na pia maadili ya kiislamu .
baada ya shukurani zangu pia naomba tupatiwe na mawaidha ya sheikh Nurdin Kishk katika njia ya MP3 ili tuweze kupata faida zaidi nasisi
ahsanteni nakushkuruni sana kwa kunagaia nafasi hii ya kutoa maoni yangu .Ramadhani kariim
on 29/08/2010 at 06:50
Nawapongezeni sana
kwa kuanzisha web hii
ya alhidaya kwani
itatusaidia wengi
ambao hatuna ufaham
wa dini.Inshaalah Allah
akudumisheni na
awapeni nguvu zaidi.
on 28/08/2010 at 12:35
Asalaam Alaikum Warahmatulaah Wabarakatuh, enyi waislam wenzangu naomba tuzidishe towbah kwa Allah(S.W) katika siku hizi zilizo baki ili tuwe wapya (kufutiwa madhambi yetu) yaani kama tumezaliwa tena, Amin. Nazidi kuwapongeza Al hidaya kwa Web hii inayotufundisha mambo mengi, 'inshaalaah' "RAMADHAN KARIM".
on 28/08/2010 at 09:54
asalaam alaikum warah matullah wabarakatu
napenda kuwashukuru al hidaya kwa kuweza kuturahisishia waislamu kuujua uislam wetu kinaga ubaga kwani tunapata mafunzo mengi napia kutuunganisha na waislam kutoka nchi mbalimbali allahawabariki na pia awahifadhi daima ammin
on 27/08/2010 at 18:45
Asalam alaikum nakutakieni kila lakheri kwakutu ekea web nzuri ambayo tunajifunza kupitia web hii mungu awajaalie kila kheri.
on 27/08/2010 at 06:28
assalamu aleikum jamiah tumshkuru allah kwa kuwa pamoja tena na kutufikisha katika ramadhani nyengine allhamdulilah sina budi kumshkuru allah kwa kuwa hai mpaka muda huu tuzudisheni ibada mungu ndie anae juwa inshallah allah atatujalia kheri katika ramadhani yetu na tupate radhi zake na malipo yasoisbika
Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 623