alhidaaya.com
Kitabu Cha Wageni


Andika Maoni


Messages : 1 to 10
Page : 1
Number of messages : 554
<< previous
1-2-3-4-5-6-7-8-9-10 ... 56
   
on 19/03/2010 at 12:48

BISMILLAHIR-RAHMAANIR-RAHIIM
AS-SALAAM ALAYKUM WA RAHMATULLAHI TA’ALA WA BARAKATUHU.
KWANZA KABISA NAMSHUKURU ALLAH SUBHANAU WA TA’ALA KWA KUNIONYESHA WEBSITE YENU.
PILI:NDUGU ZANGU KATIKA UISLAMU AHSANTENI SANA KWA KUTULETEA MTANDAO UNAOTUELIMISHA NA KUTUREKEBISHA MATENDO YETU YA KILA SIKU.JAZAKUMULLAAHU AHSANU JAZAA FID-DUNYA WAL AAKHERA.
NIMESOMA WEBSITE YENU NASEMA KUHUSU HIYO NI VERY EDUCATIVE AND INFORMATIVE.MASHA ALLAH.
NATARAJI WENGI WETU WENYE KUSOMA HIYO WEBSITE YENU WATANUFAIKA SANA KI-IMANI NA KI-MAADILI .NA HIYO IWE SABABU YENU KUPATA MAFANIKIO YA AKHERAH.INSHA ALLAH.
AMRI YA KWANZA ALLAH SUBHANAU WA TA'ALA ALIYOMPA MJUMBE WAKE NA KUPITIA YEYE WAUMINI WOTE NI:-
SOMA KWA JILA LA MOLA WAKO ALIYEUMBA.
NAYE MTUME MUHAMMAD SAW AMESEMA
KUTAFUTA ILMU NI FARADHI JUU YA KILA MWISLAM
M/MME NA M/MKE.INSHA ALLAHU TA'ALA KUPITIA WEBSITE YENU TUTATEKELEZA HII FARDHI YA KUTAFUTA ILMU.

WAHENGA WAMESEMA:
ELIMU BILA AMALI NI KAMA NTA BILA ASALI.
ELIMU NI TAA GIZANI HUZAGAA.
NAMI NASEMA ELIMU BILA HEKIMA,HEKIMA BILA MATENDO SAWA NA MWILI BILA ROHO.

ADUI MKUBWA WA MWANADAMU KWA MTAZAMO WANGU SI UMASKINI WALA MARADHI BALI NI UJINGA.

NATARAJI KUPITIA WEBSITE YENU TUTAJI KOMBOA NA ADUI HUYU.INSHA-ALLAH WAMA TAWFIQ ILLAH BILLAH

MWISHO NAMWOMBA ALLAH SUBHANAU WA TA’ALA ABARIKI NA KUPA NGUVU NYINYI YA KUENDELEA KUTU ELIMISHA ZAIDI NA ZAIDI.
NA AWANUFAISHE KILA MWENYE KUPITIA WEBSITE YENU NA LULU ZILIZOMO NDANI YAKE.HUSUSAN WASIO WAISLAMU.
               
on 23/02/2010 at 13:46

Bismillah Rahamaan Raheem namshukuru Mola kunipa web hii na inshallah malipo yapo kwa Mola mlezi, Innallilah wainaillah rajiuun nimefiwa na mwangu jina Salim miaka saba juzi ijumaa 19.02.10 alfajir mikononi mwangu, nilipewa zawadi yangu lakini imekuwa amanah allah amana rasul kisha kipende ukipendacho sikumoja utatenganacho lazima ima utaanza wewe au yeye awe ni mumeo,mtoto au mamako hii imekuwa dawa yangu kuikumbuka habari hii kati ya misemo ya quran na hadithi nilimpenda kijana wangu huyu lakini amerudi kwa mwenye muumba nakubali na nasubirisha fadhila na mapenzi aliyonipa Mola wangu kwa mtihani huu mgumu nawashukuru waisilamu wote hapa stuttgart- Sindelfingen kutayarisha na kuwa bega kwa bega nasi Alhamdhullilah Mola amuweke pahali pema peponi inshallah hii ni e mail yg(bintisiwa@yahoo.com)
   
<< previous
1-2-3-4-5-6-7-8-9-10 ... 56
Messages : 1 to 10
Page : 1
Number of messages : 554