Messages : 31
to 40
Page : 4
Number of messages : 1012
on 10/01/2013 at 18:22
Asalamu aleykum namrudishia allah (s w) shukrani kwa mtandao huu wa alhidaaya. Nimefurahi sana sasa nitajifunza dini yangu kwa ustadi inshaallah Allah awarahisishie.
on 09/01/2013 at 23:48
Kwa hakika kabisa Alhidaaya ni site ambayo mi binafsi nimefaidika kwa kiasi kikubwa san kabisa na ninaendelea kunufaika kwa kujielimisha na Alhidaaya imekuwa ni marejeo yangu katika utatuzi wa mambo mengi ambayo huwa yananitatiza huwa napata majibu kwenye Alhidaaya. bila shaka kwangu mimi Alhidaaya ni kama nyumba ya fatwa. kupitia Al hidaaya nimeweza kuona haki baada ya kutingwa na kiza kikubwa cha BIDA'A katika dini hii iliyotimia isiyo hitaji nyongeza. Ni sababu ya Al hidaaya ndio nimekuwa kipenzi cha Mtume(S.A.W) na kumfuata kama ipasavyo sio kwa kumzulia. ni kupitia Al hidaaya ndio nimefahamu kuwa Uisilamu sahihi uko katika kufua SALAFI SAALIH.
Hivyo basi,namuomba Allaah aikutanishe mioyo yenu katika jambo hili ili iwe sababu kwenu na kwetu kuingia peponi kwa kazi yenu hii, namuomba ALLAH adumishe kazi yenu hii na akupeni waritbhi watakayoiendeleza pale ambapo ALLAH atakachukuwa roho zenu ili dawah ya ALLAH iendelee,Namuomba ALLAH afanye rizqi zenu ziwe nyepesi ili msitatizike wala kusitisha kazi hii.
on 08/01/2013 at 16:27
allah awawezeshe na azidi kuwapa nguvu katika jitihada yenu ya kutuelimisha,na awalipe pepo ya juu sana inshaallah,Amiin.
on 04/01/2013 at 16:02
Allah awaongoze mzidi kutuelimisha
on 03/01/2013 at 08:22
asalam alekum warahma tullah wabarakatu!jajjakallahu mmejitahidi kutuelimisha sana hata kama huja kaa darasani unapata kujifunza kitu .natoa wito kwa vijana wenzangu na wazee waepukane na mtandao wa facebook coz dhumuni lao kubwa ni kutualibia akhilaki zetu na aqida .HALAHALA FACEBOOK NI MTIHANI NDUGU ZANGU
on 01/01/2013 at 12:53
Mungu awabariki ktk kazi njema ya kuelimisha jamii
on 01/01/2013 at 08:30
Napenda kutuma pongezi zangu adhiim kwa waanzilishi wa tovuti hii ya ALHIDAAYA ambayo inatoa mafunzo ya nyanja mbalimbali za uislamu. Namuomba Allah S.W aiwezeshe tovuti hii iwe endelevu.
on 01/01/2013 at 05:34
AWW. Hakika shuklani za dhati anastahiki Allah S.W. na rehema na amani vimwendeye kipenzi chake na kiongozi wa ummat naye si mwingine bali mtume Muhammad SAW.
Hakika sina budi kuwashukuluni pia waislam (ma sheikh) kwa juhudi hii. Kama mzaliwa wa Burundi anaekaa ugenini ukipenda uite uzunguni, hii ni na fasi kubwa sana ya pekee ambayo naweza nikayitumiya na nikajifunza dini ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu awajaliye juhudi hizi ziendeleye na inshAllah awawezeshe kuwa na moyo mwepesi wakuitumikiya dini yake, pia awajaliye pepo ililiyo juu sana nayo ni fildausi.
Kwa waislamu wote dunia nzima Allah atulinde na maovu, na machafu na atulindiye afya zetu na inshAllah tuwe ni wenye kuipenda na kiendeleza dini yake dunia nzima na vilevile dukinge na wabaya wasioupenda uislam.
AWW.
on 28/12/2012 at 22:05
Assalam Aleyk
Namshukuru Allah kwa kuwawezesha kufanya kazi kubwa ya kutunufaisha juu ya dini yetu.
Allah awabariki kwa kila jambo.
on 28/12/2012 at 14:59
asalamoaleykom warahmatollah wabarkat. Ninapendelea sana mafunzo yenu ya dini na insha allah mungu atatupa wote wenye nia ya kujifunza. Ningependelea sana kama kungekuw na mafunzo ya wanawake wa kiislamu katika ibada zao zote
Messages : 31
to 40
Page : 4
Number of messages : 1012