Messages : 41
to 50
Page : 5
Number of messages : 1019
on 04/01/2013 at 16:02
Allah awaongoze mzidi kutuelimisha
on 03/01/2013 at 08:22
asalam alekum warahma tullah wabarakatu!jajjakallahu mmejitahidi kutuelimisha sana hata kama huja kaa darasani unapata kujifunza kitu .natoa wito kwa vijana wenzangu na wazee waepukane na mtandao wa facebook coz dhumuni lao kubwa ni kutualibia akhilaki zetu na aqida .HALAHALA FACEBOOK NI MTIHANI NDUGU ZANGU
on 01/01/2013 at 12:53
Mungu awabariki ktk kazi njema ya kuelimisha jamii
on 01/01/2013 at 08:30
Napenda kutuma pongezi zangu adhiim kwa waanzilishi wa tovuti hii ya ALHIDAAYA ambayo inatoa mafunzo ya nyanja mbalimbali za uislamu. Namuomba Allah S.W aiwezeshe tovuti hii iwe endelevu.
on 01/01/2013 at 05:34
AWW. Hakika shuklani za dhati anastahiki Allah S.W. na rehema na amani vimwendeye kipenzi chake na kiongozi wa ummat naye si mwingine bali mtume Muhammad SAW.
Hakika sina budi kuwashukuluni pia waislam (ma sheikh) kwa juhudi hii. Kama mzaliwa wa Burundi anaekaa ugenini ukipenda uite uzunguni, hii ni na fasi kubwa sana ya pekee ambayo naweza nikayitumiya na nikajifunza dini ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu awajaliye juhudi hizi ziendeleye na inshAllah awawezeshe kuwa na moyo mwepesi wakuitumikiya dini yake, pia awajaliye pepo ililiyo juu sana nayo ni fildausi.
Kwa waislamu wote dunia nzima Allah atulinde na maovu, na machafu na atulindiye afya zetu na inshAllah tuwe ni wenye kuipenda na kiendeleza dini yake dunia nzima na vilevile dukinge na wabaya wasioupenda uislam.
AWW.
on 28/12/2012 at 22:05
Assalam Aleyk
Namshukuru Allah kwa kuwawezesha kufanya kazi kubwa ya kutunufaisha juu ya dini yetu.
Allah awabariki kwa kila jambo.
on 28/12/2012 at 14:59
asalamoaleykom warahmatollah wabarkat. Ninapendelea sana mafunzo yenu ya dini na insha allah mungu atatupa wote wenye nia ya kujifunza. Ningependelea sana kama kungekuw na mafunzo ya wanawake wa kiislamu katika ibada zao zote
on 25/12/2012 at 22:08
Asalaam aleykum, nashukuru sana waanzilishi wa huu ukurasa kwani kunapatikana mambo mazuri sana yausuyo uislam wetu na hata ukweli kuhusu imani zingine. Hakika kila muislam na asiyemuislam akitembelea hapa basi atakua mwenye kuneemeka na mawaidha ya ukweli yaliyojaa mafundisho na maadili ya kijamii kwa ujulmla
on 23/12/2012 at 12:43
Allah awatangulie na awabariki katika maisha yenu ya kila siku.
on 21/12/2012 at 23:47
Inshallah Mwenyezi Mungu azidi kuwatia Nguvu ya kutuhabarisha katika misingi anayoiridhia!
Messages : 41
to 50
Page : 5
Number of messages : 1019