Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 347
on 06/11/2008 at 04:45
Assalam Alaykum waba'ad, ninafuraha kuona web hii inajitahidi kuondoa nyanja mashakil yetu kwa makala na majawabu mazuri mazuri ilobaki kwetu waislam ni kufanyia kazi na kuyafikisha kwa wengine
on 05/11/2008 at 22:59
Asaalam aleykum,
hope all is well with u, thanx a million for the arabic classes and for the website in general, keep up the good work and May Allah bless u all always amin
on 05/11/2008 at 20:52
Asalamu Alaykum.
Alhamdulillah Allah kujallia nyote mloshirikiana kufungua station hii. Allah awajaze Kheri Inshaallah.
Mimi nina swali lakini sijaelewa niulize wapi.
Nakutakieni kila la kheri Barakha Inshaallah
Nimep
on 01/11/2008 at 20:55
asaalam aleykum,Namshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kurehmu,Ningependa kuwa kumbusha ndugu zangu waislam yaliomo ndani ya mtandao huu wa alhidaaya nimafuzo hasa alio kuja nayo bwana mtume wetu mohammed rehma na aman zifikie yeye.Kwa hivyo tunayo ya soma tuwe wenye kuyazingatia na kuyafata.
on 30/10/2008 at 21:01
Asalam alaykum Wapendwa
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wale wote walioshiriki katia kuanzisha Tovuti hii ya Alhidaaya, ama kwa hakika imetupatia faida kubwa sana sisi waislamu pamoja na wasiokuwa waislamu kwa kutoa elimu nzuri ya dini yetu ya kiislamu, mimi binafsi nimefaidika sana na masuala mengi sana yanayohusu dini yetu ya kiislamu.
Endeleeni na moyo huo na Allah atawazidishia zaidi.
Wabillah Tawfiq
on 30/10/2008 at 09:56
Assalam alaikum w w.
Kwanza mimi natowa shukrani kwa wale ambao walijiunga pamoja, nakuweza kuonesha elimuyao. Nakuweza kuwazinduwa wengine.
on 28/10/2008 at 13:51
Assalaamu alaykum warahmatullahi taala wabarakatu.
Kwanza namshkuru M/Mungu kwa killa jambo na lililokubwa ni kuniwezesha kufika hadi wakti huu. Baada ya hilo ni kutowa shukran zangu za dhati khususan kwa waanzilishi na khasa waliotowa fikra za kuwa na "web-site" kama hii, naamini "Jaza" yao ipo kwa mwenyewe "Sub-hana-wataala", sisi binafsi katu hatuna cha kuwalipa, zaidi ya kuendelea kunufaika na yote mema yaliyomo katika "web-site" hii, kwani hata katika "Qur'an" tukufu, tumeambiwa.... tukumbushane.., hivyo hapa pia ni mojawapo ya pahali muafaka pa kuelimishana, kufahamishana na kukumbushana kila lililo jema na pia ndipo hapa pa kukatazana, kuonyana ili kuweza kuyakimbia yale yote yaliyo mabaya, na chukizo kwake yeye M/Mungu katika yote aliyotukataza, ili kesho tuwe ni miongoni mwa waja wake M/Mungu katika kivuli chake. Wabillahi-Ttaw-fyiq! Maassalaam.
on 24/10/2008 at 08:16
Assalamualeikum warhamatulah wabarakatul.
Kwanza ningetoa shukran zangu zote kwa ALLAH, kwa kuniwezesha kutembelea webb site hii ya Alhidaaya. Pili ningependa kuwashukuru watayarishaji na wahusika wa mtandao huu kwa kazi ngumu wanayoifanya kutuelimisha sisi waumini wa kiislamu dini yetu . Nimeridhika na mfumo wetu wa mawaidha na majibu ya maswali yanayouilizwa na kujibiwa kwa makini na ufafanuzi mkubwa . Ningechukuwa fursa hii kuwaombea Mola awape mema hapa duniani na huko Akhera.
on 22/10/2008 at 10:27
Mashallah, mashallah, mashallah. Kazi hii kubwa na imepangika vizuri sana. inshallah Allah akakupeni taufiq ya kuedela kuisimamia, inshallah M.Mungu azidishe taufiq muweze kudumu katika kheri hii na pia akupeni muongozo zaidi juu ya kheri hizi na nyengine, ameen yaa Rabb.
on 18/10/2008 at 21:10
ASLM ALEYKUM MUNGU AWAJAALIE AL-HIDAYYAH KWA KUTUFIKISHIA UJUMBE WA DINI YETU TUKUFU.
MUNGU AWAJAALIE MUWE NA MOYO HUO HUO.
MTUME[SAW] ANASEMA
[KILA JAMBO JEMA NI SADAKA]
SIO HELA PEKE YAKE NDO SADAKA,HATA MANENO MAZURI NI SADAKA
W.T
Messages : 1
to 10
Page : 1
Number of messages : 347