Unga wa ngano - 1 Kikombe
Sukari - 2 Vijiko vya supu
Baking powder - 1 Kijiko cha supu
Chumvi - 1/2 Kijiko cha chai
Mayai - 2
Maziwa - 2 Vikombe
Ngano yakupikika haraka(oats) - 1 Kikombe
Siagi (iliyoyayushwa),au mafuta - 2 Vijiko vya supu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo
Unaweza kutumia chuma kikubwa kufanya viduara 3 au 4 kwa mara moja
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/185
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1026&title=Crapes%20Za%20Maziwa%20Kwa%20Asali%20