Nasiha Ya Ijumaa
'Amali Za Kutenda Na Ya Kujiepusha Nayo Katika Mwezi Mtukufu Wa Rajab
AlhamduliLLaah. Inapasa tumshukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Kutupa umri hadi kutufikisha mwezi mtukufu wa Rajab ambao ni fursa kwetu kutenda mema yatakayotuchumia thawabu nyingi kuliko miezi mingine. Mema ambayo hatuna budi kuyatenda kwa ajili ya kujenga Aakhirah yetu kabla ya siku hii kufika. Siku ambayo hakuna mmoja wetu yeyote atakayeweza kuikwepa. Basi hebu kila mmoja wetu ajiulize: "Nimetanguliza nini kwa ajili ya siku hiyo?" Siku ambayo safari yake ni ndefu mno. Vyovyote tutakavyobeba kama ni zawadi huko Aakhirah, hazitoshi wala hatuna hakika nazo
Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala):
(( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَلْتَنظُرْ نَفْسٌ مَّا قَدَّمَتْ لِغَدٍ وَاتَّقُوا اللَّهَ إِنَّ اللَّهَ خَبِيرٌ بِمَا تَعْمَلُونَ))
((Enyi mlioamini! Mcheni Allaah, na kila nafsi iangalie inayoyatanguliza kwa ajili ya Kesho. Na mcheni Allaah, Hakika Allaah, Anazo khabari ya mnayoyatenda)) [Al-Hashr: 18]
Mpya - Makala
- Mwezi Wa Rajab: Fadhila Zake Na Yaliyozuliwa Ndani Yake -- Uzushi na Maovu
- Tukio la Israa Na Mi'iraaj -- Sunnah - Siyrah
- Al-Israa Wal-Mi'iraaj -- Sunnah - Siyrah
- Israa Na Mi'iraaj - Kisa Cha Abu Bakr Asw-Swiddiyq (Radhiya Allaahu 'Anhu) -- Sunnah - Siyrah
- Hijaab - Lulu Iliyohifadhika -- Vitabu
- Hijaab - Kuwajibika Kwake -- Familia-Wanawake
- Fadhila Za Hijaab -- Familia-Wanawake
- Vazi Lipi Lililo Bora Mbele Ya Allaah? -- Familia-Wanawake
- Uislamu Na Umasikini - 1 -- Maudhui Mbali Mbali
Sikiliza Mawaidha Na Qur-aan
Mpya - Video
- Wajibu Tulionao Kwa Ndugu Zetu Palestina, Afghanistan Na Iraaq - 'Allaamah Al-Fawzaan -- Fataawa Za Wanachuoni
- Kukosa Kwenda Kuhiji Kwa Ajili Ya Uzembe Na Uvivu - 'Allaamah Al-Fawzaan -- Fataawa Za Wanachuoni
- Swawm Ya Sha'abaan Mtu Afunge Siku Ngapi? - 'Allaamah Al-Fawzaan -- Fataawa Za Wanachuoni
- Anayeacha Kitu Kwa Ajili Ya Allaah, Allaah Humbadilishia Kwa Kilicho Bora - 'Allaamah As-Suhaymiy -- Fataawa Za Wanachuoni
- Mzazi Kumfokea Mtoto Hali Ya Kuwa Amefunga - 'Allaamah Al-Ghudayaan -- Fataawa Za Wanachuoni
- Kumtolea Swadaqah Aliyechelewa Swalah Ya Jamaa'ah - 'Allaamah Al-Fawzaan -- Fataawa Za Wanachuoni
- Kushambulia Na Silaha Za Kulipua - 'Allaamah Muqbil -- Fataawa Za Wanachuoni
- Swalah Ya Jeneza Ya Mshia (Kumswalia Mshia Na Kumuombea) - 'Allaamah Al-Ghudayaan -- Fataawa Za Wanachuoni
- Kuitwa 'Wahabi' Kusikuvunje Moyo Katika Da'wah; Mtume Naye Alitukanwa - 'Allaamah Al-Fawzaan -- Fataawa Za Wanachuoni
- Huyu Ni Adui Wa Tatu; Jiweke Mbali Nae. 'Allaamah Al-Fawzaan -- Fataawa Za Wanachuoni
Mpya - Maswali
TUNASIKITIKA HATUWEZI KUPOKEA MASWALI KWA SASA. Maswali mengi yanayoulizwa yameshajibiwa, hivyo tafuta hapo juu ilipoandikwa: "Tafuta Ndani Ya Alhidaaya" kwa kuandika maneno mawili-matatu yanayohusiana na Swali lako yatajitokeza majibu yake.
- Sababu Za Kuwa Na Miezi Mitukufu -- Taqwa - Tazkiyyah
- Tofauti Ya Miezi Ya Kiislamu Na ya Kikafiri Na Zipi Sifa Zake? -- Mchanganyiko
- Kuchanganya Swalah Katika Sehemu Ya Kazi -- Hukmu Za Swalah
- Vipi kutia Niyyah Swalah za Sunnah? -- Swalah-Sunnah
- Orodha Ya Majina Ya Miezi Ya Hijri -- Mchanganyiko
- Du’aa Gani Asome Ili Apate Mume Wa Kheri? -- Taqwa - Tazkiyyah
Mpya Mapishi

-
Biriani Ya Kuku Wa Kuchoma (Grilled) -- Chakula Kikuu
-
Visheti Vya Kastadi Vya Shepu Ya Kombe -- Biskuti
-
Kamba Wa Rojo -- Vitoweo
-
Saladi Ya Fattuwsh -2 (Lebanon) -- Saladi
