Skip navigation.
Home kabah

Nasiha Ya Ijumaa

Sababu 21 Za Kumfanya Muislam Asisherehekee Maulidi

BismiLLaah wa-AlhamduliLLaah was-Swalaatu was-salaam ‘alaa Muhammad wa ‘alaa  aalihi wa Aswhaabihil Kiraam, wa Ba’ad

Zifuatazo ni sababu na hoja ambazo Muislam mwenye kupenda kufuata haki na mwenye kutaka apate uongofu ili abakie katika njia iliyonyooka na ajiepushe na mambo ya baatil. Hoja ni za wazi kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Hoja za kupinga jambo hili ziko nyingi sana, lakini tulizozikusanya tunatumai kuwa zitamtosheleza Muislamu aikinaishe nafsi yake kuwa Maulidi ni jambo la uzushi katika dini kwa hiyo ni bora kutenda amali zile tulizopata mafundisho yake kutoka kwa Mtume صلى الله عليه وآله وسلم, Maswahaba wake na Salafus Swaalih (Watangu wema).

Mpya - Maswali

TUNASIKITIKA HATUWEZI KUPOKEA MASWALI KWA SASA. Maswali mengi yanayoulizwa  yameshajibiwa, hivyo tafuta hapo juu ilipoandikwa: "Tafuta Ndani Ya  Alhidaaya"  kwa kuandika  maneno  mawili-matatu yanayohusiana na Swali lako yatajitokeza majibu yake.