Skip navigation.
Home kabah

Nasiha Ya Ijumaa

Vunja Jungu: Wamemfanya Allaah Ni Wa Ramadhaan Tu!

Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ameusia:

(( أُوصِيكُمْ بِتَقْوى اللَّه، وَالسَّمْعِ وَالطَّاعَةِ وإِنْ تَأَمَّر عَلَيْكُمْ عَبْدٌ حبشيٌ ، وَأَنَّهُ مَنْ يَعِشْ مِنْكُمْ فَسَيرى اخْتِلافاً كثِيرا . فَعَلَيْكُمْ بسُنَّتي وَسُنَّةِ الْخُلُفَاءِ الرَّاشِدِينَ الْمَهْدِيِّينَ ، عضُّوا عَلَيْهَا بالنَّواجِذِ ، وإِيَّاكُمْ ومُحْدثَاتِ الأُمُورِ فَإِنَّ كُلَّ بِدْعَةٍ ضلالَةٌ ))  رواه أبو داود ، والترمذِي وقال حديث حسن صحيح

((Nakuusieni kumcha Allaah, usikivu na twaa hata ikiwa kiongozi wenu (Au atakayekuamrisheni) ni Mtumwa  wa Habash. Mtakaoishi miongoni mwenu mtaona ikhtilafu nyingi. Kwa hiyo shikamaneni na Sunnah zangu na Sunnah za Makhalifa waliongoka baada yangu.  Ziumeni kwa magego (zikamateni kwa nguvu wala msiziache). Na tahadharini na mambo ya uzushi kwani kila bid'ah ni upotofu)) [Abu Daawuud, At-Tirmidhiy kasema Hadiyth Hasan Swahiyh] 

 

Na ametahadharisha:

Maswali

TANBIHI:

Tunapenda kuwakumbusha tena kwamba hali tuliyonayo hivi sasa haituruhusu kabisa kujibu maswali yenu hadi hapo tutakapojaaliwa In Shaa Allaah.  Kwa hiyo mtuwie radhi kutokuweza hata kujibu barua zenu zinazoingia kwa wingi pamoja na maombi mbalimbali mnayoomba tuwatekelezee.  Na hakika baadhi ya maswali mnayoyauliza ni ambayo yameshajibiwa humu. Hali kadhalika vitabu mnavyoomba, makala, du’aa, mapishi n.k. vyote vimo Alhidaaya. Kuvipata ni kutafuta hapo juu ilipoandikwa: "Tafuta Ndani Ya  Alhidaaya"  kwa kuandika  maneno  mawili-matatu yanayohusiana na Swali lako, hapo yatajitokeza majibu yake.  Ahsantum.


Rudi Juu