Nasiha Ya Ijumaa
Vunja Jungu: Wamemfanya Allaah Ni Wa Ramadhaan Tu!
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ameusia:
(( أُوصِيكُمْ بِتَقْوى اللَّه، وَالسَّمْعِ وَالطَّاعَةِ وإِنْ تَأَمَّر عَلَيْكُمْ عَبْدٌ حبشيٌ ، وَأَنَّهُ مَنْ يَعِشْ مِنْكُمْ فَسَيرى اخْتِلافاً كثِيرا . فَعَلَيْكُمْ بسُنَّتي وَسُنَّةِ الْخُلُفَاءِ الرَّاشِدِينَ الْمَهْدِيِّينَ ، عضُّوا عَلَيْهَا بالنَّواجِذِ ، وإِيَّاكُمْ ومُحْدثَاتِ الأُمُورِ فَإِنَّ كُلَّ بِدْعَةٍ ضلالَةٌ )) رواه أبو داود ، والترمذِي وقال حديث حسن صحيح
((Nakuusieni kumcha Allaah, usikivu na twaa hata ikiwa kiongozi wenu (Au atakayekuamrisheni) ni Mtumwa wa Habash. Mtakaoishi miongoni mwenu mtaona ikhtilafu nyingi. Kwa hiyo shikamaneni na Sunnah zangu na Sunnah za Makhalifa waliongoka baada yangu. Ziumeni kwa magego (zikamateni kwa nguvu wala msiziache). Na tahadharini na mambo ya uzushi kwani kila bid'ah ni upotofu)) [Abu Daawuud, At-Tirmidhiy kasema Hadiyth Hasan Swahiyh]
Na ametahadharisha:
Makala
- Mimi Ni Muislamu -- 'Aqiydah-Tawhiyd
- Nguzo Za Swalah, Vitendo Vya Waajib Na Sunnah Katika Swalah -- Swalah
- Sayyid Al-Istighfaar (Bwana Wa Du'aa Zote Za Toba) -- Duaa - Adhkaar
- Historia Ya Luqmaan Mwenye Hikma -- Katika Qur-aan
- Uwahabi -- Mashairi
- Wardi Katika Msitu - Kisa Cha Nuur -- Waliosilimu
- Sha'abaan - Fadhila Zake Na Uzushi Wa Nisfu Sha'abaan -- Uzushi na Maovu
- Alhidaayah Katika Ahkaam Za Tajwiyd - Mlango Wa 13 - Swiffah Za Herufi - Sehemu Ya 2 Na Mukhtasari Wa Herufi -- Hukmu Za Tajwiyd
- كِتَابُ التَّوْحِيدِ Kitabu Cha Tawhiyd - Imaam Muhammad bin 'Abdil-Wahhaab - Milango 22, 23 -- Vitabu
Sikiliza Mawaidha Na Qur-aan
Maswali
TANBIHI:
Tunapenda kuwakumbusha tena kwamba hali tuliyonayo hivi sasa haituruhusu kabisa kujibu maswali yenu hadi hapo tutakapojaaliwa In Shaa Allaah. Kwa hiyo mtuwie radhi kutokuweza hata kujibu barua zenu zinazoingia kwa wingi pamoja na maombi mbalimbali mnayoomba tuwatekelezee. Na hakika baadhi ya maswali mnayoyauliza ni ambayo yameshajibiwa humu. Hali kadhalika vitabu mnavyoomba, makala, du’aa, mapishi n.k. vyote vimo Alhidaaya. Kuvipata ni kutafuta hapo juu ilipoandikwa: "Tafuta Ndani Ya Alhidaaya" kwa kuandika maneno mawili-matatu yanayohusiana na Swali lako, hapo yatajitokeza majibu yake. Ahsantum.
- Hufunga Na Kuacha Kuswali Makusudi Ila Ramadhaan -- Hukmu Za Swalah
- Kuswali Rakaa Mbili Baada Ya Kutawadha Ni Sunnah? Nini Fadhila Zake? -- Swalah-Sunnah
- Binti Mwenye Kufanya Maasi Ya Zinaa -- Zinaa-Liwati
- Mume Kasema Nikifanya Jambo Nimeachika, Nami Nimefanya Na Kumdanganya Kuwa Sikufanya, Nini Hukmu Yake? -- Talaka - Eda
- Kukata Kucha Akiwa Katika Hedhi Au Nifaas Inafaa? -- Twahara
- Kuhudhuria Shughuli Za Mazishi Za Wasio Waislamu Inafaa? -- Fiqhi
- Hukumu Ya Kuuza Ardhi Akijua Kuwa Itatumika Kwa Maasi -- Uchumi (Biashara-Kazi)
- Kipi Kiwango Cha Zakaah, Je, Inafaa Kutolewa Kwa Ajili Ya Madrasa? -- Zakaah
- Mzazi Kumuuzia Nyumba Mtoto Mmoja -- Mirathi
- Kufunga Na Kukutanika Usiku Wa Nisfu Sha’baan Na Kufanya Kisomo Inafaa? -- Bid'ah - Uzushi
Mapishi
- Kuku Kidari Kwa Sosi Ya Malai -- Michuzi
- Saladi Ya Komamanga Pilipili Boga Tango -- Saladi
- Mbatata/Viazi Vya Nazi Kwa Nyama Ya Ng'ombe -- Chakula Kikuu
- Katlesi Za Kuku Mviringo Wa Yai -- Vitafunio
- Kuku Wa Karai Na Viazi (Pakistani) -- Michuzi
