Nasiha Ya Ijumaa
Fadhila Za Kumswalia Mtume صلى الله عليه وآله وسلم
Allaah سبحانه وتعالى Anasema,
(( إِنَّ اللَّهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا))
((Hakika Allaah na Malaika Wake Wanamswalia Nabii, Enyi mlioamini! Mswalieni na mumsalimu kwa salamu)) [ Al-Ahzaab:56]
Hii ni amri kutoka kwa Allaah سبحانه وتعالى tumswalie Mtume صلى الله عليه وآله وسلم na juu ya hivyo kuna fadhila kubwa kumswalia kwake
عنْ عبد اللَّه بن عمرو بن العاص ، رضي اللَّه عنْهُمَا أنَّهُ سمِع رسُول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقُولُ : (( من صلَّى عليَّ صلاَةً ، صلَّى اللَّه علَيّهِ بِهَا عشْراً)) رواهُ مسلم
Imetoka kwa 'Abdullaah bin 'Amru bin Al'-Aasw رضي اللَّه عنْهُمَا kwamba kamsikia Mtume صلى الله عليه وآله وسلم anasema, ((Atakayeniswalia (atakayeniombea)mara moja Allaah Atamswalia (Atampa rahma) mara kumi)) [Muslim]
Mpya - Makala
- Kumpenda Kikweli Mtume (صلي الله عليه وسلم) -- Sunnah - Siyrah
- Mjue Mtume Wako صلى الله عليه وآله وسلم Vizuri Uzidi Kumpenda -- Sunnah - Siyrah
- Chunga Kiapo Chako -- Mashairi
- Isbaal – Vazi La Mwanamme Lenye Kuvuka Mafundo Ya Miguu (Uburuzaji Au Kuburura) - 2 -- Uislamu Na Sheria Zake
- Mwezi Wa Rajab: Fadhila Zake Na Yaliyozuliwa Ndani Yake -- Uzushi na Maovu
Sikiliza Mawaidha Na Qur-aan
Mpya - Video
- IBRAAHIYM LETHOME - Je, Uislamu Ni Dini Ya Kinyama? - 1 -- Swahili Videos
- IBRAAHIYM LETHOME - Je, Uislamu Ni Dini Ya Kinyama? - 2 -- Swahili Videos
- MAHMUUD 'ABDUL-QAADIR - Madawa Ya Kulevya -- Swahili Videos
- Dr. MUHAMMAD KARAMA - Madawa Ya Kulevya (MIRUNGI) -- Swahili Videos
- SAALIM BAARAHIYAAN - Je, Muislam Anapaswa Kufuata Madhehebu? -- Swahili Videos
Mpya - Maswali
Kuhusu Maswali Na Majibu Yenu
Kutokana na maswali mengi mno yanayomiminika kila siku kwetu, imekuwa vigumu kutekeleza kazi zake kwa sababu ya upungufu wa watendaji wa hizi kazi. Hivyo Tunasikitika kuwajulisha kwamba kuanzia tarehe 17 May 2009, tunasimamisha kupokea maswali ili tumalize kwanza ya zamani ambayo ni mengi mno, na yaliyokuwa tayari majibu yake ila hatukujaaliwa kuwatumia katika anuani zenu. Tunasikitika kwa hali ngumu hii ilivyokuwa ambayo imetushinda nguvu, na tunawaomba radhi na mvute subira na kutuombea Allaah Atusahilishie na Atutakabalie.
Ndugu Zenu
AL HIDAAYA
- Michezo Gani Inayoruhusiwa Kishari’ah Na Ipi Isiyoruhusiwa? -- Mchanganyiko
- Tawassul Kwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) Inafaa? -- Sunnah-Hadiyth
- Kuswali Na Viatu Vinavyovaliwa Ndani Ya Nyumba Inafaa? -- Sheria-Hukmu Za Kiislaam
- Sababu Za Kuwa Na Miezi Mitukufu -- Taqwa - Tazkiyyah
Mpya Mapishi
-
Kachori Za Duara -- Vitafunio
-
Wali Wa Kichina Na Mayai -- Chakula Kikuu
-
Gulab Jamun (Pakistani) -- Kitindamlo
-
Fasulia (Maharage) Za Kukaanga -- Mboga
-
Mitai-2 -- Biskuti
