Faida Mbali Mbali Kuhusu Mwezi Mtukufu Wa Ramadhaan

Ndugu wapenzi,
Tuna furaha kuwajulisha kuwa tumewaandalia faida mbali mbali muhimu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhaan.
Nasiha Ya Ijumaa
Nyakati Tatu Muhimu Za Kufanya Ibada – Zisikupite Katika Ramadhaan-
Nyakati tatu hizi ni muhimu
1-Wakati wa mwanzo: Baina ya Alfajiri na jua kuchomoza:
Usimulizi uliothibiti kutoka katika Swahiyh Muslim (564/1) kwamba Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba walikuwa wakibakia macho wakati huo hadi jua kuchomoza kwani ni wakati mja anapogaiwa rizki yake, na ni wakati wenye kheri nyingi, unampa siha nzuri ya mwili binaadamu, na kwa ujumla ni wakati wenye baraka nyingi za kila aina kwani Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) aliomba:
اللهم بارك لأمتي في بكورها الترمذي, أحمد, أبي داود, ابن ماجه
Mpya - Makala
- Chemsha Bongo Ya Ramadhaan 1 -- Ramadhaan-Swawm
- Chemsha Bongo Ya Ramadhaan 2 -- Ramadhaan-Swawm
- Chemsha Bongo Ya Ramadhaan 3 -- Ramadhaan-Swawm
- Sunnah Za Mwezi Wa Ramadhaan Zinazosahauliwa -- Ramadhaan-Swawm
- Sifa Za Mtu Wa Peponi -- Ramadhaan-Swawm
- Mwezi Wa Ramadhaan - 1 -- Mashairi
- Fanya Biashara Na Allaah Isiyoanguka - Ramadhaan Na Qur-aan -- Ramadhaan-Swawm
- Faida Za Qiyaamul-Layl -2 (Kusimama Kuswali Usiku) -- Ramadhaan-Swawm
- Nasiha 40 Za Ramadhaan – Zitekeleze Ufaidike na Mwezi Mtukufu -- Ramadhaan-Swawm
- Zingatio La Wiki - Mgeni Bora -- Taqwa - Tazkiyyah
- Makosa Yafanywayo Na Wenye Kufunga Katika Mwezi Wa Ramadhaan -- Ramadhaan-Swawm
- Nini Cha Kufanya Katika Ramadhaan Ili Tufaidike Nayo -- Ramadhaan-Swawm
- Kwa Iliyemfikia Ramadhaan - Nasaha Kwa Wanawake -- Ramadhaan-Swawm
- Mjadala Wa Mwandamo Wa Mwezi -- Ramadhaan-Swawm
- Kumkaribisha Mgeni - Mtukufu Ramadhani -- Mashairi
- Mtukufu Ramadhani Tujumuike Kaumu -- Mashairi
- Funga Ya Ramadhaan, Hukmu, Fadhila na Adabu Zake -- Ramadhaan-Swawm
- Fadhila Za Qiyaamul-Layl - 1 (Kusimama Kuswali Usiku) -- Ramadhaan-Swawm
- Fadhila Za Mwezi Wa Ramadhaan -- Ramadhaan-Swawm
Sikiliza Mawaidha Na Qur-aan
Mpya - Maswali
OMBI JIPYA KUHUSU MASWALI YENU
KWANZA: Tunawaomba muwe na subira baada ya kutuma Maswali yenu, kwani maswali mengi mno yanamiminika humu na wengine wanatuma maswali yao zaidi ya mara tatu kukumbusha. Tunaomba mtambue kwamba maswali yanajibiwa kwa zamu ili kufanya haki katika kuyajibu. PILI: Wanaotuma Maswali ya Mirathi, tunawaomba waweke maelezo kamili kuhusu warithi waliobakia. Watajwe wote wanaohusika kupata urithi ili maswali yaweze kujibiwa ipasavyo bila ya kukurudishieni barua kukuulizeni. TATU: Maswali yawekwe maudhui iliyo wazi ili iwe wepesi kufuatilia na kila swali litumwe katika barua ya pekee.
Tunatumai kupata ushirikiano wenu mwema ili mtufanyie wepesi hizi kazi ambazo ni nyingi sana khaswa za Maswali na watendaji ni wachache sana.
Jazaakum Allaahu Khayra.
- Swawm ya Mwenye Kunyonyesha -- Swaum
- Kutoa Damu Kunavunja Swawm? -- Swaum
- Kulala Na Janaba Na Kuamka Na Swawm -- Swaum
Mpya Mapishi
-
Kaimati Aina Ya 2 -- Kitindamlo
-
Pai Za Nyama Na Mboga Ya Karoti -- Vitafunio
-
Uji Wa Kunde -- Supu
-
Bajia Za Bilingani, Viazi Na Njegere -- Vitafunio
-
Chila -- Mikate
-
Chapati Aina Ya 2 -- Mikate
-
Sharbati Ya Embe Na Maziwa -- Juisi
-
Pweza Wa Kukaanga -- Vitoweo
-
Zurubiani (Wali Wa Ki-Saudia) -- Chakula Kikuu
-
Kababu Za Kuku Katika Sosi Ya Nyanya -- Michuzi
