Zurubiani (Wali Wa Ki-Saudia)
Vipimo
Mchele - 5 mugs (kikombe kikubwa)
Nyama (au kuku) - 2 Ratili (LB)
Chumvi - Kiasi
Mafuta - 3/4 kikombe
Samli - 1/2 kikombe
Vitunguu Vikubwa (kata virefu virefu) - 6
Nyanya (iliyosagwa) - 6 vijiko vya chakula
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 kijiko cha chakula
Pilipili mbichi - ½ kijiko cha chai
Hiliki nzima - 6 chembe
Mdalasini nzima - 5 vijiti
Mtindi (yoghurt) - ½ kikombe cha chai
Karoti - 1
Mapilipili makubwa - 2 kijani na jekundu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Sosi
Wali:
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1027&title=Zurubiani%20%28Wali%20Wa%20Ki-Saudia%29