Vitumbua Vya Kuku Vya Mboga Na Jibini (Cheese)
Vipimo
Kidari cha kuku – kilo 1
Tangawizi na kitunguu thomu ilosagwa – 1 kijiko cha supu
Paprika – 1 kijiko cha chai
Jira (bizari ya cumin) – 1 kijiko cha chai
Bizari ya mchuzi – 1 kijiko cha chai
Kitunguu maji – 2 katakata
Karoti – 1 moja katakata nyembamba
Pilipili (capsicum) kubwa la kijani – kiasi katakata
Pilipili kubwa (capsicum) jekundu – kiasi katakata
Jibini (Cheese) ya cheddar – ilokunwa – kiasi
Mayai – 3 au 4
Baking powder – 1 ikijiko cha chai
Unga wa dengu – 1 kijko ukihitajika (ikiwa mchanganyiko umekuwa wa majimaji)
Chumvi – kiasi
Mafuta ya kuchomea
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10270&title=Vitumbua%20Vya%20Kuku%20Vya%20Mboga%20Na%20Jibini%20%28Cheese%29