Kabeji Ya Kukaanga
Vipimo:
Kabeji - ¼ kabeji
Karoti - 2
Kitunguu - 2 viwili
Nyanya - 1
Nyanya ya kopo - 1 kijiko cha chai
Pilipili mboga - ½
Chumvi - kiasi
Pilipili manga - ½ kijiko cha chai
Bizari ya manjano - ¼ kijiko
Pilipili zilorowekwa katika siki
(hot pepper rings) - 2 vijiko vya supu
Mafuta - 2 vijiko vya supu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/85
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2460&title=Kabeji%20Ya%20Kukaanga