Katlesi Za Mviringo Za Samaki
Vipimo
Viazi - 7-8 kiasi
*Samaki wa Tuna wa kopo - 3 vibati
Kitunguu - 1
Chumvi - kiasi
Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai
Pilipili mbichi - 1
Ndimu - 1 kijiko cha supu
Kotmiri (Corriander leaves) - ½ kikombe
Unga wa ngano - ½ kikombe
Chembe za mkate (Bread crumbs) - 1 kikombe
Mayai - 2
Mafuta ya kukaangia - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo:
Unaweza kutumia samaki wa nguru badala ya tuna ila itabidi umtie maji kidogo apikike vizuri hadi akauke.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3187&title=Katlesi%20Za%20Mviringo%20Za%20Samaki%20%20