Mkate Wa Shimari Na Zabibu
Vipimo
Unga wa ngano 2 ½ Vikombe Vya chai
Siagi 3 vijiko vya supu
Chumvi 1 kijiko cha chai
Sukari 1 kijiko cha supu
Hamira 1 ½ vijiko vya chai
Bizari tamu (Shimari) 1 kijiko
Zabibu kiasi ukipenda
Yai 1
Rangi ya manjano kidogo tu
Baking powder 1 kijiko cha chai
Maziwa 1 kikombe cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4298&title=Mkate%20Wa%20Shimari%20Na%20Zabibu