Buns Za Nyama Ya Kusaga (Aina Ya 2)
Vipimo
Mayai - 4
Mafuta- 1 kikombe
Maziwa - 1kikombe
Chumvi - kiasi
Hamira- 1 1/2 kijiko cha supu
Unga - kiasi
Habat suda( blackseed)- 1 kijiko cha supu
Nyama yakima kiasi ipike kama ya sambusa
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Kidokezo: unaweza kujaza feta cheese na zaituni badala ya nyama pia inakuwa nzuri .
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/105
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4542&title=Buns%20Za%20Nyama%20Ya%20Kusaga%20%28Aina%20Ya%202%29