Makbuus Samak/ Makbuus ya Samaki (U.A.E)
Vipimo
Mchele wa Basmati - 4 vikombe
Samaki wa chango - 2 Wakubwa
Vitunguu vilivyokatwakatwa - 3
Samli au mafuta - ¼ kikombe
Buharaat (bizari ya Makbuus) - 2 vijiko vya supu
Bizari ya manjano (haldi/tumeric) - 1 kijiko cha chai
Nyanya zikizomenywa na kukatwakatwa - 3
Kitunguu saumu(thomu/galic) iliyosagwa - 2 vijiko vya supu
Loomi (ndimu kavu) au ya unga - ½ au ½ kijiko cha chai
Mdalasini kijiti - 1
Karafuu nzima - 3
Hililiki nzima - 4
Maji - 5 vikombe
Kotmiri iliyokatwakatwa - ½ kikombe
Chumvi - kiasi
Baharaat – Bizari Ya Makbuus
Pilipili Manga - ½ kikombe
Gilgilani (Corriander seeds) - ¼ kikombe
Mdalasini vijiti - ¼ kikombe
Karafuu - ¼ kikombe
Bizari ya pilau (cumin seeds) - 1/3 kikombe
Hiliki- 2 vijiko vya chai
Paprika ya unga - ½ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Baharaat (bizari)
Chambua hiliki utoe kokwa zake, kisha tia vitu vyote katika mashine ya kusagia (grinder) usage hadi iwe unga.
Changanya na Paprika bizari ikiwa tayar.
Ihifadhi katika chupa yenye mfuniko wa kubana vizuri.
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Makbuus
Vipimo Vya Samaki:
Kitunguu saumu(thomugalic) na tangawizi ilosagwa - 1 kijiko cha supu
Pilipili mbichi ilosagwa - 2 vijiko vya supu
Pilipili nyekundu ya unga - 1 kijiko cha chai
Maji ya ndimu - 3 vijiko vya supu
Bizari ya mchuzi - 1 kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Samaki
Namna Ya kutayarisha Na Kupika Wali
Kidokezo:
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4785&title=Makbuus%20Samak%2F%20Makbuus%20ya%20Samaki%20%28U.A.E%29%20