Mchuzi Wa Samaki Nguru Na Bilingani Za Kukaanga
Vipimo Vya Samaki
Samaki Nguru 4-5 vipande
Pilipilimbichi ilosagwa 1 kijiko cha supu
Kitunguu saumu(thomu/galic) kilosagwa 1 kijiko cha supu
Tangawizi mbichi ilosagwa 1 kijiko cha supu
Bizari ya samaki 1 kijiko cha chai
Paprika (pilipili nyekundu ya unga ilokoza) 1 kijiko cha chai
Chumvi kiasi
Ndimu ¼ kikombe
Vipimo vya mchuzi
Bilingani 2 ya kiasi
Vitunguu (katakata chopped) 2 vikubwa
Nyanya/tungule (katakata chopped) 3
Nyanya kopo (paste) 2 vijiko vya supu
Chumvi kiasi
Ndimu kavu/lumi 1
Mafuta (ya kukaangia) kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Samaki
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Mchuzi
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/108
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4976&title=Mchuzi%20Wa%20Samaki%20Nguru%20Na%20Bilingani%20Za%20Kukaanga