Keki Ya Walnut (Jozi) Na Mdalasini
Vipimo:
Unga mweupe - 1 ½ kikombe
Siagi - 10 vijiko vya supu
Sukari ya brown (soft brown sugar)- ½ kikombe
Baking powder - 1 ¾ kijiko cha chai
Mayai - 2
Maziwa - ¼ kikombe
Walnut zilokatwakatwa (chopped) - 1 kikombe
Mdalasini wa unga - 1 kijiko cha chai
Chumvi - ¼ kijiko cha chai
Vanilla- ½ kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/106
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F5175&title=Keki%20Ya%20Walnut%20%28Jozi%29%20Na%20Mdalasini%20