Chops/Katlesi Za Muhogo Na Mayai
Vipimo
Muhogo - 1 Lb (pound)
Mayai yalochemshwa6 -
Pilipili mbichi ilosagwa - 1 kijiko cha supu
Jira/cummin bizari pilau - 1 kijiko cha chai
Vitungu vya kijani (spring onions) - 3 mich
Siagi - 1 oz
Unga wa dengu (gram flour) - 1 ½ kikombe takriba
Ndimu - 1 kamua
Chumvi - kiasi
Mafuta ya kukaangia
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika:
Kidokezo:
Ukikosa unga wa dengu, tumia unga mweupa, na tia bizari ya manjano kidogo.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F5977&title=Chops%2FKatlesi%20Za%20Muhogo%20Na%20Mayai%20