Katlesi Za Kuku Mviringo Wa Yai
Vipimo na namna ya kutayarisha
Mbatata/viazi Chemsha - 2 Kilo
Kuku safisha, osha katakata vipande - ½
Mayai Piga kwa uma (fork katika kibakuli) - 3
Vitunguu maji katakata vidogodogo (chopped) - 2
Pilipili shamba/mbichi ilosagwa - 1 kijiko cha chai
Ndimu/limau Kamua - 1 au mbili
Pilipili manga - ½ kijiko cha chai
Tangawizi mbichi Saga - 1 kipande
Kitunguu thomu (saumu) Saga - 7 – 10 chembe
Uzile/bizari nyembamba/ya pilau/cumin Saga - 2 vijiko vya chai
Bizari ya mchuzi ukipenda = 1 kijiko cha chai
Kotmiri majani osha, katakata (chop) = 1 kikombe
Chenga za mkate (Bread crumbs) Weka katika sahani ya chali - 1 kikombe
Namna Ya Kupika:
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F6468&title=Katlesi%20Za%20Kuku%20Mviringo%20Wa%20Yai