Mijadala Inavuruga Dini
Is-haaq bin 'Iysaa (Rahimahu Allaah) amesema:
"Nilimsikia Imaam Maalik akipinga mijadala katika Dini, akisema: 'Kila mara anapokuja mtu ambaye anajua kujadili vizuri zaidi kuliko mwengine, anatutaka sisi (kwa hiyo mijadala yake) tuache yale Jibriyl aliyomletea Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)."
[Sharaf Asw-haab Al-Hadiyth, uk. 5]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/201
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F6945&title=Imaam%20Maalik%20-%20Mijadala%20Inavuruga%20Dini