Kabaab Za Nyama Za Kukaanga Za Slaisi Ya Mkate
Vipimo
Nyama ya kusaga - 1 kilo moja
Slaisi za mkate - 5
Mayai - 2
Unga wa dengu - 1 kijiko cha supu
Kitunguu katakata (chopped) - 1 kikubwa
Tangawizi ya kusagwa - 2 vijiko vya supu
Thomu (garlic/saumu) ilosagwa - 1 kijiko
Pilipili mbichi katakata (chopped) - 2 chembe
Bizari mchanganyiko - 2 vijiko vya chai
Kotmiri freshi ilokatwakatwa - kikombe kimoja
Chumvi - kiasi
Mafuta ya kukaangia.
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7289&title=Kabaab%20Za%20Nyama%20Za%20Kukaanga%20Za%20Slaisi%20Ya%20Mkate