Supu Ya Kuku Ya Mboga Na Sosi Ya Beshamel
Vipimo
Kuku - ½
Chumvi - kiasi
Pilipili manga - 1 kijiko cha chai
Kiazi - 1
Kiazi kitamu - 1
Brokoli - kipande kiasi
Koliflower (cauliflower) - kipande kiasi
Karoti - 2
Boga - kipande kiasi
Mumunya - kipande kiasi
Uyoga (mushroom) - ½ kikombe
Mahindi machanga (baby corn) - kiasi
Parsely (aina ya kotmiri) - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na kupika
Vipimo Vya Beshamel
Unga - 2 vijiko vya kulia
Siagi - 2 vijiko vya kulia
Maziwa ya unga - 1 gilasi moja
Kidonge cha supu (stock) - 1
Namna ya kutengeneza Beshamel
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/73
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7296&title=Supu%20Ya%20Kuku%20Ya%20Mboga%20Na%20Sosi%20Ya%20Beshamel