Hukmu Ya Kusherehekea Maulidi Ya Nabiy (Swalla Allaahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) Katika Mwezi Wa Rabiy’ul-Awwal Kwa Ajili Ya Kumuadhimisha
Al-Lajnah Ad-Daa'imah
SWALI:
Nini hukmu ya kusherehekea mawlid ya Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika mwezi wa Rabiy’ul Awwal kwa ajili ya kumuadhimisha?
JIBU:
Kumuadhimisha Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na kumheshimu ni kwa kuamini kila alilokuja nalo kutoka kwa Allaah, na kufuata Shariy’ah Yake, ki-‘Aqiydah, na kwa kauli na kwa matendo na tabia, na kuacha bid’ah katika Dini.
Na katika mambo ya bid’ah ni kusherehekea Mawlid Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam).
Wa biLLaahit-Tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyinaa Muhammad wa aalihi wa Swahbihi wa sallam.
[Fatwa (3257) – Al-Lajnah Ad-Daaimah]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/203
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7607&title=Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Maulidi%3A%20Hukmu%20Ya%20Kusherehekea%20Maulidi%20Ya%20Nabiy%20%20%EF%B7%BA