Kuhusisha Siku Au Mahali Kwa ‘Ibaadah Bila Ya Dalili
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
Haikuamrishwa kuhusisha mahali palipoanza kuteremshwa Wahyi wala wakati kwa ‘ibaadah. Anayehusisha mahali au wakati kwa ‘ibaadah ni itikadi yake mwenyewe, na hivyo ni sawa na mfano Ahul-Kitaab ambao waliofanya wakati na matukio ya Al-Masiyh (Nabiy Iysaa) kuwa ni misimu ya ‘ibaadah kama siku ya kuzaliwa na siku ya kubatizwa na kadhalika.
[Zaad Al-Ma’aad fiy Had-yi Khayril-‘Ibaad (1/56-58)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/225
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7611&title=Imaam%20Ibn%20Al-Qayyim%3A%20Kuhusisha%20Siku%20Au%20Mahali%20Kwa%20%E2%80%98Ibaadah%20Bila%20Ya%20Dalili%20%20%20%20%20